Tuesday, December 22, 2015

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOMFARIJI JK JANA

ms8

RAIS Dr John Magufuli jana aliungana na Rais Mstaafu wa wamu ya pili,Mhe Ali Hassan Mwinyi katika ibada ya mazishi ya Dada wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dr Jakaya Kikwete Nyumbani kwake Msoga mkoani Pwani.
Akiwa katika ibada hiyi,Rais Magufuli alijumuika na wenyeji wake katika msiba huo kwa kushirikiana nao katika shughuli mbalimbali hadi hatau ya mazishi
ms1 ms2 ms6 ms7  ms9 ms10

No comments:

Post a Comment