MAAFISA WAKALA WA VIPIMO WATOA ELIMU KWA WAKULIMA KAHAWA WILAYANI KARAGWE MKOANI KAGERA
Maafisa wa Wakala wa vipimo wakitoa elimu
kwa mkulima wa kahawa mkoani kagera katika wilaya ya karagwe katika
chama cha msingi cha Nyakahanga namna ya kutambua mizani sahihi na ile
isiyo sahihi
Wakulima wa kahawa pamoja na viongozi wa
vyama vya msingi wakiapishwa na mkuu wa wilaya ya karagwe Bw. Godrefy
muheruka kuwa hawatachakachua mizani ya kununulia kahawa.
Mkuu wa wilaya ya karagwe akifuatilia elimu namna ya kutambua mizani iliyohakikiwa na Wakala wa vipimo ili kuwalinda wakulima.
No comments:
Post a Comment