Katibu Mkuu wa Uchukuzi Dkt Leonard Chamriho
akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa wataalam wa TEHAMA
(Annual ICT Professionals Conference 2017, AIPC-17) unaofanyika kwa siku
mbili kwenye ukumbi wa JNCC jijini Dar es salaam Mkutano huo
umeandaliwa na Tume ya Mawasiliano, Mkutano huo umeandaliwa na Taasisi
ya Tume ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Tanzania na kushirikisha
wataalamu mbalimbali kutoka Tanzania na Nje ya Tanzania.
Mkurugenzi waMkuu wa Kampuni ya
Multchoice Tanzania na Mwenyekiti wa Bodi ya TEHAMA Bw. Maharage Chande
akizungumza katika mkutano huo.
Katibu Mkuu wa Uchukuzi Dkt Leonard Chamriho
kushoto Injinia Clarence Ichwekeleza Mkurugenzi wa Huduma za
Mawasiliano Wizara ya Uchukuzi na mawasiliano katikati na Bw. Samson
Mwela Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
wakiwa katika mkutano huo.
Baadhi ya wataalamu wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mkutano huo.
Injinia Clarence Ichwekeleza Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano Wizara ya Uchukuzi akizungumza katika mkutano huo.
Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Uchukuzi Dkt Leonard Chamriho akipiga picha ya pamoja na wataalamu wa TEHAMA mara baada ya kufungua mkutano huo.
Katibu Mkuu wa Uchukuzi Dkt Leonard Chamriho
akizungmza na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya
kufungua mkutano huo kulia ni Maharage Chande Mkurugenzi wa Multchoice
Tanzania na na Mwenyekiti wa Bodi ya TEHAMA na Kushoto ni Bw. Samson
Mwela Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
Maharage Chande Mkurugenzi wa Multchoice Tanzania na na Mwenyekiti wa Bodi ya TEHAMA akizungumza na wanahabari.
Bw. Samson Mwela Kaimu Mkurugenzi
wa Tume ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) akihojiwa na waandishi wa
habari mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo.
No comments:
Post a Comment