Droo ya kupanga mecho za robo
fainali, katika upangaji huo wa robo fainali inaonekana bado
hatutashuhudia mechi baina ya vigogo wa ligi katika robo fainali kwani
hakuna mchezo wanaokutana katika hatua hiyo.
Chelsea watakutana na Bournamouth katika robo fainali huku Arsenal watakabiliana na West Ham katika robo fainali.
Leicester City watakutana na vinara wa ligi kuu Manchester City huku Manchester United watakuwa wageni wa Bristol City.
Robo fainali ya Efl Cup/Carbao Cup
inatarajiwa kupigwa kati ya tarehe 19 na 20 ya mwezi wa 12, na hiyo
itatoa timu zitakazokwenda kucheza nusu fainali ya michezo hiyo
0 comments:
Post a Comment